Wednesday 18 July 2012

BREAKING NEWS!!! MELI YA MV SEAGUL YAZAMA IKIWA NA ABIRIA ZAIDI YA 200!!!


Mpendwa msomaji  habari za kusikitisha zilizotua majira ya saa 9 .30 Alasiri ya leo zinadai kuwa watu zaidi ya 200 waliokuwa wakisafiri na meli ya Seagul kutoka Dar e Salaam kwenda Zanzibar wamezama katika bahari ya Hindi karibu na kisiwa cha Chumbe baada ya boti hiyo kuzama.

Hadi sasa bado idadi ya majeruhi na waliokufa bado haijatolewa na jitihada za uokoaji zinaendelea Chanzo kinatajwa ni boti hiyo kuzidiwa na uzito na hivyo kupigwa na mawimbi mazito na kupinduka .

Habari zaidi utaipata mara zitakapotufikia katika endelea kutembelea mtandao huu.
Habari zaidi soma Francis Godwin Blog

No comments:

Post a Comment