Baada
 ya Barnaba kuimba wimbo wa 'Napembelezwa' ndipo mwana dada Wema alienda
 kumtuza na kutoa machungu yake. Kwa mujibu wa uchunguzi na maoni ya 
watu mbali mbali walikiona kitendo cha Wema Sepetu kwenda mbele kumtuza 
Diamond ni sawa na kujidhalilisha na kuhusishwa na mambo ya kishirikina.
Pia
 Justmine Loyce Bobbie alisema: Kwanini Wema anamfatafata mtoto wa watu 
kila kona? amuache na maisha yake jamani.. mbona Diamond hamfatilii lol,
 YATAMSHINDA 
Kwa picha na habari zaidi bofya hapa
 
No comments:
Post a Comment