Thursday 9 February 2012

DONDOO KUHUSU MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YA MTOTO WA RAIS

Je, Unajua ni vipi shule zimefanya katika mitihani iliyopita? Je, kwa maoni yako unafikiri rais atayazungumziaje matokeo haya, wajua ni namna gani mtoto wake amefanya katika mtihani huo? Kwa nyepesi zenye uhakika ni kwamba ni yeye tu ALIYEFAULU shuleni kwao FEZA GIRLS, chambua kwa makini matokeo haya kisha kama yamekugusa toa maoni yako!
SOMA KWA UNDANI

No comments:

Post a Comment