Monday 23 July 2012

Breaking News!!! Waziri Ajiuzulu

Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu
mjini Zanzibar, Hamad Masoud
amejiuzulu wadhifa wake baada ya
kuwepo kwa shinikizo la kuachia ngazi
lilitoka kwa wananchi
Habari zaidi zitakujia endelea kutembelea blog hii.

No comments:

Post a Comment