Wednesday 29 February 2012

BREAKING NEWS!!! AJALI MBAYA YAUA ENEO LA LUGEYE MAGU



 
 Baadhi ya miili ya marehemu ikiwekwa katika gari ya polisi

Taarifa tulizozipata hivi punde zinasema  watu kadhaa wamefariki dunia baada ya basi la Zacharia kugongana na Gari ndogo aina ya Noah. Chanzo chetu kinaendelea kutafuta undani wa tukio hilo na taarifa zaidi zitawajia pindi tutakapokuwa tumethibisha.
Soma zaidi